Leviticus 27:1-6

Kukomboa Kile Kilicho Cha Bwana

1 Bwana akamwambia Musa, 2 a“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Kama mtu yeyote ataweka nadhiri maalum ili kuweka watu wakfu kwa Bwana, kwa kutoa kiasi cha thamani inayolingana, 3 bthamani ya kukomboa mwanaume mwenye kati ya umri wa miaka ishirini na miaka sitini itakuwa shekeli hamsini
Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.
za fedha, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu;
4ikiwa ni mwanamke, weka thamani yake kwa shekeli thelathini.
Shekeli 30 za fedha ni sawa na gramu 360.
5 eKama ni mtu mwenye umri wa miaka kati ya mitano na ishirini, weka thamani ya mwanaume kuwa shekeli ishirini,
Shekeli 20 za fedha ni sawa na gramu 240.
na mwanamke shekeli kumi.
Shekeli 10 za fedha ni sawa na gramu 120.
6 hKama ni mtu mwenye umri kati ya mwezi mmoja na miaka mitano, weka thamani ya mwanaume kuwa shekeli tano za fedha, na ile ya mwanamke kuwa shekeli tatu
Shekeli tatu za fedha ni sawa na gramu 36.
za fedha.
Copyright information for SwhKC